Natafuta mume

Natafuta mume

Hao ndo wazuri...hasikii kitu wee unaendelea ru
Haipendezi kabisa hata hivyo kwa taarifa yenu hiyo ni invention mojawapo ya ibilisi lengo likiwa ni kuzidisha machukizo juu ya uso wa nchi, hata hivyo Mungu alitupa binadamu uhuru na uwezo wa kuchagua, hakuna aliyelazimishwa kumwamini Mungu ni hiari kwa moyo wako tu.
[HASHTAG]#Tamaa[/HASHTAG] ikishachukua mimba, huzaa mauti [emoji17]
 
Elim dunia ndio Maarifa hayo na Elim darasani ndio nadharia, waTz wanaangamia kwa kukosa maarifa, they like doing everything by the book! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wasomi wa Tz hawajambo kabisa
Aaahhh kumbe niko ktk best position ?.
 
Haipendezi kabisa hata hivyo kwa taarifa yenu hiyo ni invention mojawapo ya ibilisi lengo likiwa ni kuzidisha machukizo juu ya uso wa nchi, hata hivyo Mungu alitupa binadamu uhuru na uwezo wa kuchagua, hakuna aliyelazimishwa kumwamini Mungu ni hiari kwa moyo wako tu.
[HASHTAG]#Tamaa[/HASHTAG] ikishachukua mimba, huzaa mauti [emoji17]
Uwiiii nimekosea uzi wa kuComment, naombeni mnielekeze uzi wa wale watu wa samantha uko wapi?, maana leo nimekosea njia ajabu[emoji28]
samahanini sana
 
Back
Top Bottom