Natafuta mume

Haya yote yanatoka wapi umekidhi mashart mfuate pm.Huna vigezo fungus Uzi mwingine so simple
Huwaga akina dada wakiwa bado wabichi wanawaza kuwa na mtoto, baadae umri ukienda wanaume wenyewe tunataka kuoa wanawake wasio na watoto wanabaki na option ya second selection,
 
Umri umefanyaje..huyo anazaaa hata 5 akiamua.Wakina Jlo 58 Na wanaolewaa akina Toni Braxton wanaenda 60 kila MTU Na muda aliopangiwa Na Mungu
Dah! mimi nimeishia hapo kwenye umri wake tu!
 
Umesahau sifa moja "mwenye hofu ya mungu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…