Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
Eti apambane na hali yake. Hapo kuna swali la kujiuliza kwann amezalishwa na ndoa hajaiona ,je kama mfupa ulimshinda fisi mbwa atauweza vijana kuweni makin sana na hawa viumbe misone chura tu na elimu ya chuo kikuu ndo ikupambe ww umpende chuo kikuu mbona sahvi haina issue babu wamejaa kitaa tuko nao tunakuja ugali wa misumari na majani ..tafuta mtu ambaye anaendana na ww bhana
 
Madem uliowatia mimba na kuwambia watoe ni wangapi? Hakuna wasichana siku hizi kuwa open minded mkuu acha mawazo mgando
Sa ndo amuowe jimama la watu na maisha yake na mtt frm another kisa chuo kikuu usimshauri ivo si mawazo mgondo ni kwamba huwezi kusikia kwa tajiri wanakula viporo sasa watt wakike kibwena we unataka ukomae na mwanamke anayetafuta mume mitandaoni akili au matope
 
Eti unataka kulelewa kama yai ptuuuu.
 
Aisee pole sana dada yangu.Mungu ni mwema utapata mtu sahihi.Jiweke jiran na Mungu na penda kusali trust me inaleta sana amani ya moyo.
Watu tusihukumu hovyo hovyo
 
Mi wadogo zangu wa kike nawaambiaga msikimbilie kuzaazaa huko mbele pagumu, atokee tu boya fulani afanye yake achukue mzigo wakazaliane huko, ila mambo ya kutia mimba afu asepe nimewaambia ntamtafuta huyo baba namtandika hadi nipeleke polisi
Mkuu we katili kwa dada zako aisee.mwenye dada hakosi shemeji ha haaaa
 
Umeandika kwa uchungu. Pole sana. Ila ndiyo Dunia, na Dunia imejaa changamoto na wenye changamoto ndiyo sisi. Nina imani utampata unayemtaka ila subira nayo ni kitu muhimu.

I hope ya understand.

Ila sister yangu hili nalo ni funzo, wengine wajifunze kupitia kwako. Si vizuri kuachia goli kabla ya ndoa. Najua ndoa nayo inachangamoto lakini kwa kiasi kikubwa hii hali ingestirika. Sikulaumu, nakutakia kila la heri.
 

Hakika umenena mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…