Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mungu wa Daudi na Mungu wa JEeeh Mungu wa Ibrahim, Mungu wa yakobo... mpe huyu mama hitaji la moyo wake...
Amen..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wa Daudi na Mungu wa JEeeh Mungu wa Ibrahim, Mungu wa yakobo... mpe huyu mama hitaji la moyo wake...
Amen..
Vp mlifikia muafaka?nina 29 na miezi 8 nifikirie , nataka niokoe jahazi
Vp mkuu ulifanikiwa kumpatia kazi?Mimi nakupa kazi kwanza nikuangalie ukipata mshahara unakuwaje maana mnajulikana tabia zenyu mkishakuwa na kazi na vijimishahara, ukizingua unarudi kuendelea kuchati jf.....okay? Kama uko tayari njoo whatsapp tuongee 0758 52409
Umesha mpata?Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
Baba wa mtoto akirudi itakuwa je sasa maana mmmh , ni juzi tu tumeweka uzi humu mdada wa kigamboni alichotufanyia pamoja na kumpenda isiwe kama yaleMimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Tupe mawasiliano ya aliyekuwa mzazi mwenzio atuhakikishie hampo pamoja tena maana nyie single mothers mna tabia ya kurudianaameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume
Ukweli mtupu!NB. Waliozaa pamoja hua hawaachani.
At your Own Risk.
akiamua kumtafuta jebaba yake hamtaki tokea mimba,kasema akikua mtoto atamtafuta ila yeye hataki mtoto wala hawezi kumtafuta
wazee wa kitongaKwanza Pole kwa yote uliyopitia, pili naomba unitafute PM
[emoji24][emoji24][emoji24]Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua