Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,987
- 6,682
[emoji23][emoji23][emoji23]nina 29 na miezi 8 nifikirie , nataka niokoe jahazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]nina 29 na miezi 8 nifikirie , nataka niokoe jahazi
[emoji23][emoji23][emoji23]hii dunia taabu sana!!Mi siwez kumwamini single maza labda baba mtoto akiwa amefariki na nijue kazikwa wapi
Nenda kwa aliye kutoboa shimo na kukupa majukumu usiyo yawezaMimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
[emoji23][emoji23][emoji23]hii ni zaidi ya kasi ya kimondo!!Chura ipo?
Wanataka mawasiliano kivipi? Ni kwa namna gani utaweza kupata mchumba bila mawasiliano kuwepo?Natafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
tunawasiliana siku 2 au 3 anasema tuonane anakuja na mipira nimpe hotelini.Haha eti anataka ngono, sasa mume unamtaka wa nini kama hutaki ngono? Au wanaume siku hizi ni mapambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.tunawasiliana siku 2 au 3 anasema tuonane anakuja na mipira nimpe hotelini.
Mapema sana
Hahaha duu hiyo kalitunawasiliana siku 2 au 3 anasema tuonane anakuja na mipira nimpe hotelini.
Mapema sana
Upo mkoa ganiNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
nitashukuru sanaPole sana.
Nikupe siri ya kumpata Mume?
Utaweza gharama zake?nitashukuru sana