Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Aliyewahi kuwa hawala hatongozi/hatongozwi.... Na siyo lazima awe alizalishwa au la...Maswala ya kukumbushiana hayakosekan kisingizio mtt [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mmeshindwa kumuelewa... Hajasema sex baada ya ndoa... Ila kasema wanaume wa humu wanaharakisha sana..siku 2,3 anataka ngono... Yawezekana yeye anataka mdumu kwa muda ili mjuane vizuri ndo atakuwa tayari...Mimi nakubaliana naye 100%..,wengi wenye tabia hizo huwa ni masex maniac kuoa hawawezi... Msimamo wake utampunguzia kuchezewachezewa.Labda anataka aolewe kwa misingi ya kidini yaani hamna kubanjuana mpaka mfunge ndoa halafu baada ya mwezi aje hapa kulalamika kuwa mme ana kibamia au hasimamishi kabisa.
Try before use ndio mpango mzima
#Mzee baba legeza kidogo huku kitaani hali mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huyo anakujali sana, mpe aonje tamu ili achonge na mzingatunawasiliana siku 2 au 3 anasema tuonane anakuja na mipira nimpe hotelini.
Mapema sana
Dada mimi nakidhi 90% ya vigezo vyako nakosa kimoja tu DINIIsije kuwa ni wewe.
Hivi Dada mwenye huu Uzi umeshapata mume !? Kama bado hebu njoo pm tuongee tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya huyo kajileta ushindwe mwenyewe..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Agree with you brother Yan mtu anakua ameshakujua mapema ukitakacho so ngumu kumpata mwanamke km huyo unless she's th btchNyie ndo mmeshindwa kumuelewa... Hajasema sex baada ya ndoa... Ila kasema wanaume wa humu wanaharakisha sana..siku 2,3 anataka ngono... Yawezekana yeye anataka mdumu kwa muda ili mjuane vizuri ndo atakuwa tayari...Mimi nakubaliana naye 100%..,wengi wenye tabia hizo huwa ni masex maniac kuoa hawawezi... Msimamo wake utampunguzia kuchezewachezewa.
Tena usiwape bhana hivyohivyo, though ilisex iwepo lazima kuwe na urafiki.tunawasiliana siku 2 au 3 anasema tuonane anakuja na mipira nimpe hotelini.
Mapema sana
Lazima tucheki kwanza kama yaliyomo yamo hatuchukui mbuzi kwenye guniaNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
Naomba namba zako tuwasiliane hata Mimi natafuta mwenzaNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Omba busara ikuongoze!!Mkiwa under 30 mnaringaa wee
Mnafkir hamtazeeka Ila ngoja
Ifke over30
Unaskia tu yoyote ilimrad
Maisha yanaenda
Ameshasema yuko Mwanza na ameoa tayariBaba wa mtoto wako yuko wapi kwa sasa...??
Pole kwa magumu unayopitia,Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Nyie ndo mmeshindwa kumuelewa... Hajasema sex baada ya ndoa... Ila kasema wanaume wa humu wanaharakisha sana..siku 2,3 anataka ngono... Yawezekana yeye anataka mdumu kwa muda ili mjuane vizuri ndo atakuwa tayari...Mimi nakubaliana naye 100%..,wengi wenye tabia hizo huwa ni masex maniac kuoa hawawezi... Msimamo wake utampunguzia kuchezewachezewa.