Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Nakushauri mtafutie mwanao na maisha yako pesa wanaume utawapata tu hao wa. 32 bado wanawaza starehe kwa walio wengi mwanaume akifika at least 40 yrs akili ndo inatulia na anaacha michepukohapana yalikuwa mahusiaono thabiti kabisa na sijawahi kuwa na mwanaume mwingine,miaka yote mwanaume alikuwa hana kazi maalumu mimi ndiyo nlikuwa msaada kwake na kwa familia na kazi nlivyopoteza wakanigeuka tena hapo nlikuwa na ujauzito,hajaajiriwa hatua za kisheria nimeshindwa kuchukua ameoa mwanamke ukoo wa kitajiri mwanza natumani atakuwa na maisha mazuri
Mkuu kila mtu na machaguo yakesingle maza wamerudi kwa kasi ya 4g!
kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
Mi siwez kumwamini single maza labda baba mtoto akiwa amefariki na nijue kazikwa wapiHadithi zenu zinafanana,Siku mbili nyingi oooh baba wa mtoto amekuja kumsalimia.Mara nampeleka kwa baba yake amuone.Huko huko na mimba nyingine juu.
Mi wadogo zangu wa kike nawaambiaga msikimbilie kuzaazaa huko mbele pagumu, atokee tu boya fulani afanye yake achukue mzigo wakazaliane huko, ila mambo ya kutia mimba afu asepe nimewaambia ntamtafuta huyo baba namtandika hadi nipeleke polisiWadau msimshambulie dada wa watu, kwenye familia/ukoo wenu wapo. Tena wengine humu wametelekeza damu zao alafu wanawaponda single mother. Single mother wanajali sana kama hamjui
Ndo hilo swala linalonivunja moyo, hata aseme sina mawasiliano na baba ila ilimradi yupo hai mi siwez kumchukulia serious mamaa hata siku moja ntamwona mlupo tu, peleka mtoto kwa baba tuanze upyaHuyo mtoto kampe baba yake, mwanaume hawezi kulea mtoto asiye wake wakati baba yake anakula starehe,
Tatizo la wanawake wengi wanang'ang'ania watoto mwanzoni utaambiwa story nzuri baadaye utaona baba mtoto akiimarisha mawasiliano na kama kawaida wakikutana lazima wagonganeNdo hilo swala linalonivunja moyo, hata aseme sina mawasiliano na baba ila ilimradi yupo hai mi siwez kumchukulia serious mamaa hata siku moja ntamwona mlupo tu, peleka mtoto kwa baba tuanze upya
Mapenzi na mahaba motomotoEeeeh kama yai tena??? Kwa kipi!!?
Duh ulikua kwenye shimo la magolddigger..pole sanahapana yalikuwa mahusiaono thabiti kabisa na sijawahi kuwa na mwanaume mwingine,miaka yote mwanaume alikuwa hana kazi maalumu mimi ndiyo nlikuwa msaada kwake na kwa familia na kazi nlivyopoteza wakanigeuka tena hapo nlikuwa na ujauzito,hajaajiriwa hatua za kisheria nimeshindwa kuchukua ameoa mwanamke ukoo wa kitajiri mwanza natumani atakuwa na maisha mazuri
mnasemaga hivo hivo! ukishaingia mahusiano unaanza kuwasiliana Na huyo ex wako! wanawake mna akili za tumbiliameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume
Dahhh.....We jamaa una roho mbaya km mdudu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeitika mkuu......We mzee bhana