ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
Single mother ukimuoa ujue umeoa mke wa mwenzako...at your own risk!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema ulikua unasoma humu kwa muda mrefu natumaini ulikua unaona majibu mabovu hivyo ulijiandaa kwa hilo.ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuu
hayuko moyoni nikiri tu nimekosea ila naomba nsinyanyapaliweAlikutelekeza......Je moyoni mwako bado yupo?... na hata akirudi sasa hivi mnaweza kuyaanzisha upya?.....!
Kuna kitu Wanawake wengi sana mnakosea, nacho ni kuzaa na mwanaume ambaye hajakuoa, hilo ni kosa kubwa sana. Mnajiaribia maisha yenu wenyewe kwa matendo yenu ya tamaa.
Anyways, kila la kheri katika kutafuta Mume, nisiandike mengi nikawakatisha watu wengine tamaa.
Siku zote majuto ni mjukuu, wewe ukiwa kama msomi chuo, you should have known better! Haya mambo ya kuchezewa na kuachwa waachieni wale wa darasa la saba. Lakini inapofika eti hata Graduate wa chuo kikuu unachezewa na kuachwa hapa ndipo huwa naona elimu yetu bado ni shida sana.ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuu
Once again , umriMimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
ahsanteSiku zote majuto ni mjukuu, wewe ukiwa kama msomi chuo, you should have known better! Haya mambo ya kuchezewa na kuachwa waachieni wale wa darasa la saba. Lakini inapofika eti hata Graduate wa chuo kikuu unachezewa na kuachwa hapa ndipo huwa naona elimu yetu bado ni shida sana.
tena wengine wanapiga hadi magoti uko pm.......dah wahuni sio watuHahahaaaa wanaume wa jf bwana hahahaaaa hapo wamejaa pm ndiii
sijaelewaOnce again , umri
Sina kigezo hiko cha umris
sijaelewa
Wanawake na majibu yao bana, maelezo yenu kuhusu wazazi wenzenu huwa yanafanana.ameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume
Mkuu miminimama siku zote mimi huwa napenda kuwaambia watu ukweli wao ili wale wengine wasije wakarudia makosa yale yale. Sina ubaya na wewe na wala sina chuki na wewe. Mimi nimejipa jukumu la kukemea maovu humu JF.ahsante
Ni kweli 'single mothers' wengi hawana maadili?single maza wamerudi kwa kasi ya 4g!
kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
Single mother wanajali nini mkuuWadau msimshambulie dada wa watu, kwenye familia/ukoo wenu wapo. Tena wengine humu wametelekeza damu zao alafu wanawaponda single mother. Single mother wanajali sana kama hamjui