Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,437
Hahahha kweli aisee,, wakiwa wako na 25 kushuka chini hadi 20,,haumgusi aisee mapozi na dharahu nyingi tuAlabdulilah ya mboga inapatkanA
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahha kweli aisee,, wakiwa wako na 25 kushuka chini hadi 20,,haumgusi aisee mapozi na dharahu nyingi tuAlabdulilah ya mboga inapatkanA
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dooh ubaya huoNioe mwanamke alie zaa????
Labda Kama waschana wameisha
Kwa hii dunia
Yan hata Salam tu hawatakHahahha kweli aisee,, wakiwa wako na 25 kushuka chini hadi 20,,haumgusi aisee mapozi na dharahu nyingi tu
Walaaaaah co ubayaDooh ubaya huo
ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuuHadithi zenu zinafanana,Siku mbili nyingi oooh baba wa mtoto amekuja kumsalimia.Mara nampeleka kwa baba yake amuone.Huko huko na mimba nyingine juu.
Na huu ndio ukweli japo watakataHadithi zenu zinafanana,Siku mbili nyingi oooh baba wa mtoto amekuja kumsalimia.Mara nampeleka kwa baba yake amuone.Huko huko na mimba nyingine juu.
Mwanaume lijaliMi ni kijana mpambanaji niko mwanza.. karibu Pm kama hautajali
Kisha jibu au bado???Baba mtt yupo wapi?!
Dah kumbe hajafa!!!ameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume
Huna Dada single maza??single maza wamerudi kwa kasi ya 4g!
kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
Hahaha mbona umeogopa mkuuDah kumbe hajafa!!!
Dah kuna kamsemo kanasema waliozaa hawaachani labda m1 kati yao atangulie kwa Sir GodHahaha mbona umeogopa mkuu
Alikutelekeza......Je moyoni mwako bado yupo?... na hata akirudi sasa hivi mnaweza kuyaanzisha upya?.....!ameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume