Natafuta Mume

Huu mwandiko mbona kama nimeujuaa!!!!!

Nisije utongoza mara mbili, aisee kila la kheri
 
mara nyingi mnatoa mabango kama haya kutuchora, kama uko siriaz hebu njoo tutete
 
mm npo na vigezo vpo vyote na kazi yangu ni shamba boy km unavoniona karbu tuyajenge cpendi kuumizwa wala kuumiza cha msingi heshima kipaumbele cha ndoa
 
kwani yeye umejua lengo lake?
 
Dini tu imenikosesha mke, niachie mwenye ngekewa yao kila la kher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…