Natafuta mume

Natafuta mume

Who knows,unaweza kukuta baada ya conversation hii bahati ikawa upande wako ukakuta pm lukuki za wenye wasifu uutakao.
😀😀 may be, let us wait and see, I will bring you a feedback kama ikitokea hiyo bahati.
 
Huku huwa unaweka na sifa zako unaunganisha na
1.Cheti cha STD VII
2.Cheti cha CSEE
3.Cheti cha ACSEE
4.Cheti cha Chuo (University Transcript)
4.Picha yako Ukiwa Unaonekana Full

Ili wanaJF tujudge wewe ni Mwanamke wa Aina Gani!
Acha unoko boya wewe eti University transcript what for? unampa kibarua, nasema tena ACHA UDANANDA mwenye Education CV ya hivo ni malaika au anakojoa dhahabu.
 
Back
Top Bottom