Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Kama shuzi vile likipata mjambaji...[emoji12] [emoji12] [emoji12]Haaahaaa....Nazi imepata mkunaji
Mi niko tayari Dom nitafuteHabari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Oooh ready taken..? Is there any chance we can flirt [emoji6] [emoji6] .Ha ha ha ....mi ninae tayari ila sio wapwani
Labda wanataka wafungue tuition [emoji4] [emoji4] [emoji1]Bint unataka pesa au vyeti?Wenyepesa kama King Musukuma kanda ya ziwa hata darasa LA 7 hajafika.Shauri yako
Aaaaah wapi! Washamba sana walee....sioOooh ready taken..? Is there any chance we can flirt [emoji6] [emoji6] .
Probably jamaa ni ngosha ndugu yake jiwe.
Kwanza kabisa Mume hatafutwi huja automatically, na tambua kuwa tatizo la vijana wengi hudhani Mambo haya ya ndoa ni kama kutafuta Mwenzi wa Maisha sio kweli, kikubwa kama wewe ni binti kuwa mtulivu,mcha Mungu,usiwaze kuwai au kuchewa kuolewa,ridhika jinsi ulivyo mtumikie Mungu jitume kufanya kazi zako ndogondogo au kubwa kwa ajili ya mahitaji yako binafsi usipende hela za kupewa na wanaume kizembe,huku ukimtumikia Mungu na ukawa mtulivu wa akili na mambo yako yote yawe matulivu,watu watakuona Maisha yako na Mungu atakuletea Mume Mzuri uwezi amini na nikuhakikishie kuwa sisi wanaume huwa hatuchukui wasiojiheshimu,wavivu,wanaojulikana kwa matukio mtaani na mengine mambo ya ajabu huwa tuna pick kilicho bora na mwenye kujielewa wanaume wakiona hali hii huja wenye tabia kama za binti huyu ambaye ameridhika na ametuliaMume anatafutwa wapi Mshindi Zaidi?
But huwezi amini kuna wadada wanajiheshimu huku mtaani balaa lkn mambo yamewagomea kabisa!Kwanza kabisa Mume hatafutwi huja automatically, na tambua kuwa tatizo la vijana wengi hudhani Mambo haya ya ndoa ni kama kutafuta Mwenzi wa Maisha sio kweli, kikubwa kama wewe ni binti kuwa mtulivu,mcha Mungu,usiwaze kuwai au kuchewa kuolewa,ridhika jinsi ulivyo mtumikie Mungu jitume kufanya kazi zako ndogondogo au kubwa kwa ajili ya mahitaji yako binafsi usipende hela za kupewa na wanaume kizembe,huku ukimtumikia Mungu na ukawa mtulivu wa akili na mambo yako yote yawe matulivu,watu watakuona Maisha yako na Mungu atakuletea Mume Mzuri uwezi amini na nikuhakikishie kuwa sisi wanaume huwa hatuchukui wasiojiheshimu,wavivu,wanaojulikana kwa matukio mtaani na mengine mambo ya ajabu huwa tuna pick kilicho bora na mwenye kujielewa
Nikwambie kitu,kila jambo huja kwa Wakati wake kuwai au kechelewa kuolewa sio inshu sana,unaweza force kuolewa kumbe huyo si mume wako mwisho wa Siku mkaishi miaka mitatu na watoto mkazaa ukashangaa mnaachana,tatizo hii siri watu hawajui wakina Dada wanawaza kuolewa kumbe Mungu ajakupangia kwa Wakati huo,kumbe Hao wa mtaani wawe na subira wakati ukifika wataolewa daima na ndoa hazito vunjika kwa sababu mda sahihi umefikaBut huwezi amini kuna wadada wanajiheshimu huku mtaani balaa lkn mambo yamewagomea kabisa!
Na kuna viruka njia kibao tena kuna mmoja huyo mtaan alikuwa anauza but kaolewa na ndoa with 2 kids!
Hili life lione hivi hivi haliko fair at all
Nimekupata mkuu...umeeleza vyema!Nikwambie kitu,kila jambo huja kwa Wakati wake kuwai au kechelewa kuolewa sio inshu sana,unaweza force kuolewa kumbe huyo si mume wako mwisho wa Siku mkaishi miaka mitatu na watoto mkazaa ukashangaa mnaachana,tatizo hii siri watu hawajui wakina Dada wanawaza kuolewa kumbe Mungu ajakupangia kwa Wakati huo,kumbe Hao wa mtaani wawe na subira wakati ukifika wataolewa daima na ndoa hazito vunjika kwa sababu mda sahihi umefika
Utafiti unaonesha wasichana kuanzia miaka 14 nakuendelea huwaza kuolewa na ndivyo hukosti wengi sana maskini Dada zetu,hiyo hali hata kama yupo shule akili yake ushakuwa ivyo so msichana yeyote akijishepu kwa uzuri wa kila sehemu tabia,asiwe muhuni na Mcha Mungu huyu lazima aolewe tu,ukifika mda kikubwa msiwe wepesi kutoa miili yenu kwan wazee wa Wa tamaa huja pia atakayekwambia anakupenda mkazie mpaka ndoa ndo utaujua ukweli kuwa anakutamani au anakupenda kweliNimekupata mkuu...umeeleza vyema!
Hili nalo nenoUtafiti unaonesha wasichana kuanzia miaka 14 nakuendelea huwaza kuolewa na ndivyo hukosti wengi sana maskini Dada zetu,hiyo hali hata kama yupo shule akili yake ushakuwa ivyo so msichana yeyote akijishepu kwa uzuri wa kila sehemu tabia,asiwe muhuni na Mcha Mungu huyu lazima aolewe tu,ukifika mda kikubwa msiwe wepesi kutoa miili yenu kwan wazee wa Wa tamaa huja pia atakayekwambia anakupenda mkazie mpaka ndoa ndo utaujua ukweli kuwa anakutamani au anakupenda kweli
Unafaa weweMie mkulima wa zabibu na naishi Dom na degree ipo vipi sikufai?
NiniKigezo kimoja tu umenikosa
DiniNini
Ni kweli kabisa. Na mitandao ni njia mbadala ya kutafuta mwenza baada ya mtaani mambo kugomaBut huwezi amini kuna wadada wanajiheshimu huku mtaani balaa lkn mambo yamewagomea kabisa!
Na kuna viruka njia kibao tena kuna mmoja huyo mtaan alikuwa anauza but kaolewa na ndoa with 2 kids!
Hili life lione hivi hivi haliko fair at all