Hadi uzeeni nani kasemaSasa Uajekundu kila.mtu kajieleza hapa lakini hadi sasa hajakuona PM, mbona mnacheza na akili zetu? Na usipopata mtu hapa hutopata hadi uzeeni
PoleDini
Kweli kabisaNi kweli kabisa. Na mitandao ni njia mbadala ya kutafuta mwenza baada ya mtaani mambo kugoma
Kama wewe ni bikra sawaKumbe kitu used kabisa jamani. Hiyo digirii naona ni chachandu tu. Hata O level ulishindwa. 27 tiyari umemaliza digirii na kuzalishwa!! Ulimwengu huu, tuule taratibu jamani.
Kaushauri; Huna sifa ya kuweka sifa hizo unazotaka hapo. Sema hata Std. 7 mwenye kujiajiri mwenyewe fani yoyote. Utapata lakini digirii hupati ng'o. Used ni used tu haina cha digirii
Kama wewe ni bikra sawa
Ungeanzia mtaani. Sasa huko umekosa unakuja na masharti utadhani utaolewa bure[emoji1][emoji1]Hadi uzeeni nani kasema
Si kweliMpini hausinyai wala kupanuka au kunenepa bali k ndiyo hupoteza elasticity yake.
Nimeanzia hapa kwanza. Kwani kuna formularUngeanzia mtaani. Sasa huko umekosa unakuja na masharti utadhani utaolewa bure[emoji1][emoji1]
Huku wamegaji na wadangaji tu hakuna waowaji unapoteza muda labda kama umetokea badoo umekuja kuona na huku kama biashara ipo[emoji1]Nimeanzia hapa kwanza. Kwani kuna formular
NakujaNjoo pm
Si kweli
kwa hiyo we ni bata gani mzinga au hawa wa kawaida tu!!?Ukimvhunguza bata , huwezi mla
Wewe wasemaHuku wamegaji na wadangaji tu hakuna waowaji unapoteza muda labda kama umetokea badoo umekuja kuona na huku kama biashara ipo[emoji1]
Si kweliHata uchomee udi haibani
Namaanisha mumemume atafutwi kama ivyo,sema unatafuta mwanaume mwenye ivyo vigezo
Hata kwa hayo majibu yako ya mkato inaonesha huamini usemacho kwa kuwa hujafanya kautafiti.Si kweli