Natafuta mume

Kama kweli uko serious ni pm namba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unamaliza chuo wapiiii??
zile sifa nyingine za rangi, urefu n.k wewe huzitaki?? 😉😉
 
Wanyakyusa huwa mna sura nzito! Vipi yako iyo kilo ngapi?
Tuanzie hapo kwanza halafu tuje kwenye tako.
 
Sasa mrembo si ungaliza kwanza masomo? Unataka kushikanisha vitu.

Au umeahasikia sikia kuwa hamuoleki mtaani kwahio unaweka oda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…