Nawe Uwe
1. Bikra
2. Uwe Muislam
3. Usiwe mtu wa Chato.
4. Uwe na miaka kati ya 18-23
Kama unasifa hizo njoo Pm.
Wachaga watakuwa wamembomoa sanaHahaha asiwe mchagga... Nilijiuliza kwanini hujaolewa mpaka saivi... Nimeshapata jibu
Haaa!Nawe Uwe
1. Bikra
2. Uwe Muislam
3. Usiwe mtu wa Chato.
4. Uwe na miaka kati ya 18-23
Kama unasifa hizo njoo Pm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmekaririshwa sana na Helen Green White
Wachagga kwa pamoja tunasemaa aiseeeee
Mako na wenzake ni zero medula amna kitu waache wawe hivo hivoAisee wachaga toka tupewe shutuma na makonda hii ni ishu nyingine naon kumbe kuna baadhi ya makabila hawan ndoto za kuolewa huku moshi. Sababu hasa ni nini
Nani kasema wachagga wanaacha elfu 10 emu kuwa makiniMtoto hataki watu wabaili ... wasabato mnawalisha watu ugali na karanga asubuhi mnawaambia ni afyaa, nani asiyetaka vya kukaangwa ? Wachagga wanakuachie f10 kwa siku hapo unatakiwa ulishe familia ulipe kodi na ada za watoto yaani ukiuliza utasikia io f10 kwa siku ulishindwa kufungua hata kabiashara kadogoo
Haaa!
Kwani chato kuna tatizo gn mkuu?
SIFA
AWE MKRISTO DHEHEBU LOLOTE ISIPOKUWA MSABATO NA SOLOAMU
MIAKA 30-35
AWE MCHA MUNGU
ASIWE,MCHAGA
AMBAYE YUKO TAYARI ANI PM
[emoji120]