[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] kulikoni?Mamy [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29] hata usinitakie kheri, huu uzi umeleta tafran kubwa mno
Mungu awatangulie.Nimepata
Mamy [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29] hata usinitakie kheri, huu uzi umeleta tafran kubwa mno
Kumbe penzi lenu lilianzia hapa!Natafuta mke
Sifa zangu
Ni mchamungu,
Rangi yangu n i mweusi
Sina kitambi,
Ninajitambua kuwa mimi ni mwanaume na najua kuutumia vizuri uanaume wangu,
Sifa za mke nimtakae
Mweusi,
Mwembamba,
Asiye na matako makubwa,
Elimu la saba,
Asiye na mtoto.
Huu uzi nadhani ufungwe lengo la mleta mada nishalitimiza.
Nilishamkupaa weyeeeMwenza, naomba umchukue mumeo mie akuuuuuu
Namshkuru Mungu nimeuona kwa kweli.Salama tu, habari ya new month ?
Kwanuka????Mmh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haiwezekani....Nimeghairisha watu hawapo serious humu
La saba unaandika vizuri hivyo mmh Acha uongo ni mbaya