Natafuta mume

[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Nilikwambia tatizo lako kuu ni hasira. Ona sasa ushaharibu.
Mamy [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29] hata usinitakie kheri, huu uzi umeleta tafran kubwa mno
 
Kumbe penzi lenu lilianzia hapa!

Hongereni sana jamani, nawaombea mnoo muwowane sasa
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Nilikwambia tatizo lako kuu ni hasira. Ona sasa ushaharibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tehe tehe amegundua siku hizi mahimu ya chuo na life fake zao tunayakimbia.La saba kaona wanaolewa yeye na Batchelor of arts in KIDUNGA anazidi kuzeekea nyumbani kwao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
La saba unaandika vizuri hivyo mmh Acha uongo ni mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…