financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Eeeh, acha tu mkuu,nisiongee mengi nikamwaga kuku wengi kwenye mchele mdogoo[emoji1]Kwann tena mkuu mbona unanitisha
Nataka mke Ila nipo 27PM yako haiko wazi
Hata mmoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo kakosa sababu hakutaka kufungua PM ila wewe chapu utapata maana nimechungulia PM kupo waziAyaaaaa! Namimi nimekosa Sasa..ujue nilikua nakutegemea upate wawili unigawie mmoja..[emoji134]
Njoo inbox tuongee kwa kina ili nijue kama ni fursa au ni hatari, dawa huwa chungu lakini inaponyagaEeeh, acha tu mkuu,nisiongee mengi nikamwaga kuku wengi kwenye mchele mdogoo[emoji1]
Mwanamke ni msaidizi wa mwanaume. Hakuna mwanaume asiyejua kutafuta pesa akiwa na mwanamke mwenye akili sababu atamshauri jinsi ya kutafuta pesa (siyo kama mwanamke atatafuta pesa hapana ila atamshauri, fanya hivi, fanya kile, unaonaje ukinitafutia kiasi fulani cha pesa nifanye biashara?)Asipotafuta pesa tutakula mawe?, tutavaa nini, tukiumwa hospital je, watoto watasomaje??? Kuna vitu huwa mnakwepa hata sijui mnakwepaje
Asipotafuta pesa tutakula mawe?, tutavaa nini, tukiumwa hospital je, watoto watasomaje??? Kuna vitu huwa mnakwepa hata sijui mnakwepaje
Nipate wapi kaka hahahahaha sikumpata
Mpaka Desemba ntakua na 33yrs haya njoo tuyajenge maana PM yako umefunga27? Hujamaliza mambo ya ajabuajabu subiri ukue kwanza
Ushauri utapewa hilo sio tatizo na siwezi kuona mume anayumba nisimshauri, hilo halipo........ Kingine nataka mwanaume muislamu anayejua dini inataka afanye nini kama mume kwenye ndoa, naona waleta porojo wameanza hapaMwanamke ni msaidizi wa mwanaume. Hakuna mwanaume asiyejua kutafuta pesa akiwa na mwanamke mwenye akili sababu atamshauri jinsi ya kutafuta pesa (siyo kama mwanamke atatafuta pesa hapana ila atamshauri, fanya hivi, fanya kile, unaonaje ukinitafutia kiasi fulani cha pesa nifanye biashara?)
Kuna baadhi ya wanawake wao wapo kukinga mikono tu, hawezi kumshauri mwanaume kuhusu lolote kuhusu utafutaji wa pesa. Kuna kipindi mishe inakata na haujui ufanye nini lakini ukiwa na mwanamke mwenye akili atakushauri, mume wangu unaonaje ufanye kazi ya ulinzi? ikifika mwisho mwa utanipatia 50,000 nifanye biashara ya genge n.k USHAJIULIZA KWANINI KIPINDI HIKI WANAWAKE NDIYO WANAHANGAIKIA NDOA KULIKO WANAUME? Mimi nikiwa na mwanamke ambaye hanipi hata ushauri/mawazo yoyote kuhusu utafutaji wa hela napiga chini maana ni mzigo na siku nikiyumba atanikimbia. Siyo kama nategemea ushauri/mawazo yako ili nitafute pesa lahasha angalau tushauriane kwasababu pesa ni yetu sote
Upo serious kweli?Ushauri utapewa hilo sio tatizo na siwezi kuona mume anayumba nisimshauri, hilo halipo........ Kingine nataka mwanaume muislamu anayejua dini inataka afanye nini kama mume kwenye ndoa, naona waleta porojo wameanza hapa
Mume muislamu msubiri anakuja. Ukumbuke mume atafutwi kama unatoa tangazo la ajira na ndoa ni ya mwanaume. Tengeneza mazingira yatakayo mvutia huyo mume kuja na ukumbuke mume mwema haitaji mwanamke ambaye ni Gold digger. GoodluckUshauri utapewa hilo sio tatizo na siwezi kuona mume anayumba nisimshauri, hilo halipo........ Kingine nataka mwanaume muislamu anayejua dini inataka afanye nini kama mume kwenye ndoa, naona waleta porojo wameanza hapa
Wewe ni kichaa ndio maana nimekwambia mume muislamu anayejua dini imemuamrisha nini juu ya ndoa yake..... Wewe ni [emoji706]Mume muislamu msubiri anakuja. Ukumbuke mume atafutwi kama unatoa tangazo la ajira na ndoa ni ya mwanaume. Tengeneza mazingira yatakayo mvutia huyo mume kuja na ukumbuke mume mwema haitaji mwanamke ambaye ni Gold digger. Goodluck
Hahaa, hii inatwa dawa chungu mpaka mwisho na haiponyi mkuu, acha tuNjoo inbox tuongee kwa kina ili nijue kama ni fursa au ni hatari, dawa huwa chungu lakini inaponyaga