tatizo una tako hapo ndio umefail
Sasa kama hujawahi ifungua hiyo pm yako na umesema wakufuate pm,ulimaanisha nini?huoni kama unawakatisha tamaa wanaoweka nia kutokana na haya mabandiko?Uongo dhambi, hiyo pm sijawahi kuifungua wewe uliweka kwa pm ya nani
Atakuwa hajiamini;kwa sababu wengi wanaofunga pm ni kwa sababu hawajiamini kwa maamuzi yao.Sasa kama hujawahi ifungua hiyo pm yako na umesema wakufuate pm,ulimaanisha nini?huoni kama unawakatisha tamaa wanaoweka nia kutokana na haya mabandiko?
Hahahaha...tuone.Km bado ziko vizuri mno
ha ha ha ha,tunaelimishana tu mkuu na kujiamini pia ni muhimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenikandia sio?