Natafuta mume

Rudisha ndege yetu
 
Kwa nini usianze kwa kutafuta mchumba, huko kwa mume mbona mbali sana...

Sio desperation kweli hii???
 
Mzee unafeli wapi, ni kiungo kimoja tu kinachotofautisha mwanamume na mwanamke...

Sasa uwezo wa kutumia hicho kiungo ndio kutumia uanaune wako...
Sawasawa
 
Mwanaume atakayekuja kuwa mume...... Ina maana tutaanza kwenye uchumba
Kwa nini usianze kwa kutafuta mchumba, huko kwa mume mbina mbali sana...

Sio desperation kweli hii???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…