Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Njoo PM maana yako umeifunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Jaribu kupitia uzi wa mabaharia unawadau wengi wanao weza kuutumia uanaume wao vizuriWanaume wanaojijua wao ni wanaume wameshaelewa boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi bila picha ni sawa na kula ugali na picha ya samaki
Mzee unafeli wapi, ni kiungo kimoja tu kinachotofautisha mwanamume na mwanamke...
Sasa uwezo wa kutumia hicho kiungo ndio kutumia uanaune wako...
wewe ni mrefu mfupi?Nataka mrefu kiasi sio ngongoti[emoji23]
Kabla hujafanyia kazi fanya kuni PM kwanza, maana yako umeifungaNitafanyia kazi hii
Tuwekee hata picha kuanzia kiunoni kushuka chiniAsante[emoji126][emoji126][emoji126]