Natafuta mume

 
Muda sasa natafuta mke lakini hola
Halafu Hawa wanaleta bandiko hapa la kutaka mume wengi wazinguaji huko inbox hata hawajibu text.
Wacha nijaribu hii ni naweza kuwa bahati yangu sasa
 
WAFUPI TUNATENGWA SANA.. 🙄
 
Hii ishu ya mke humu usikute inatumika kuwadukua ID zenu mnaojifanya hamtaki kujulikana.Wanawake ni miongoni mwa silaha za maangamizi ukikutana Suleimani au Samsoni muulize
 
Habari jana yu nimeachia thread yangu ,nikitafuta mwanamke mwenye character kama zako.Ni Dm namba zako au nichek WhatsApp 0746375258 tuchek kama tuna match.
 
njoo inbox

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nilichelewa kuingia hapa! Vipi, ulishapata?
 
Njoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…