Natafuta mume

Natafuta mume

Dada kuna miamba miwili ukiona imekuja pm kimbiiiia kabisa
1 @Zero IQ
2 @rikiboy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
jieleze vizuri tukujue
*elimu yako
*kabila
*umeajiliwa au kujiajili
*unataka mwanaume wa aina gan mwenye ajira , mrefu ama mfupi
na mengimeyo ya muhimu ili kuepuka usumbufu nikija PM
ni hayo tu.
ye kigezo chake uwe unapumua tu, na mtalimbo uwe fit kwa kaz bas!
 
Back
Top Bottom