Mzee wangu siku hizi imekuwa Mtume na nabii maana kila mtu unamuombea😂😂😂😂😂
aisee,Awe tayari kuoa kabla ya mwaka huu kuisha
Vipi mkuu wahi fasta mbona unabaki kuguna tuaisee,
labda akubali awe mke wa piliVipi mkuu wahi fasta mbona unabaki kuguna tu
Una watoto/mtoto?Miaka yangu 29
Makazi Pwani
Muislam
Nimtakaye
Awe kuanzia na miaka 31
Awe na kazi
Muislam
Atokee Mkoa ya karibu na Pwani au Pwani.
NB:Awe tayari kuoa kabla ya mwaka huu kuisha kama tukiridhiana,Insha' Allah.
Na amesema yeye ni mwislam so nahisi atakuwa tayari kabisalabda akubali awe mke wa pili
HapanaUna watoto/mtoto?
Asilimu kwa kufata nyapu tu sidhani... Akipata na kuona ladha yake anarudi kwao.Nafasi ipo wazi
Miaka yangu 29
Makazi Pwani
Muislam
Nimtakaye
Awe kuanzia na miaka 31
Awe na kazi
Muislam
Atokee Mkoa ya karibu na Pwani au Pwani.
NB: Awe tayari kuoa kabla ya mwaka huu kuisha kama tukiridhiana,Insha' Allah.
Dah we dada sitasahau nilikupenda Sana lakini ulikuwa unaringa Sana pale mtaani enzi hizo tuko kule muheza miaka ya 2012 hivi nahisi ulikuwa in your early twenties ....Dah nilikuwa Na mpango wa kukuwowa kabisa, bathi Tu ukantolea nje
Dah we dada sitasahau nilikupenda Sana lakini ulikuwa unaringa Sana pale mtaani enzi hizo tuko kule muheza miaka ya 2012 hivi nahisi ulikuwa in your early twenties ....Dah nilikuwa Na mpango wa kukuwowa kabisa, bathi Tu ukantolea nje