Natafuta Mume

Natafuta Mume

Hao serious ashindwe kuwapata huko duniani ambapo wanamuona aje kuwapata hapa cyberspace kweli
ndugu yangu haya mambo hayana formula kabisaaaaaaaaa, ndio mana unaweza date mtu hata miaka 10 akaja kukuacha akaoa/kuolewa na mtu aliemjua ndani ya mwaka mmoja
 
ndugu yangu haya mambo hayana formula kabisaaaaaaaaa, ndio mana unaweza date mtu hata miaka 10 akaja kukuacha akaoa/kuolewa na mtu aliemjua ndani ya mwaka mmoja
Sii ujinga wako mwenyewe miaka kumi unadate na mtu wee una akili matope?

Mwanamke mwenye tabia njema na ni wife material hakai sokoni muda mrefu anakuwa kashaolewa huo ndio ukweli. Ukiona una date na mwanaume miaka ujue kuna sehemu haupo sawa
 
Sii ujinga wako mwenyewe miaka kumi unadate na mtu wee una akili matope?

Mwanamke mwenye tabia njema na ni wife material hakai sokoni muda mrefu anakuwa kashaolewa huo ndio ukweli. Ukiona una date na mwanaume miaka ujue kuna sehemu haupo sawa
point ni kwamba haya mambo hayana formula mume/mke anapatikana popote
 
Zamani ndo nilikuwa napaparikia nyuzi za hivi kwa kukimbilia pm!!
Nilipogundua ni uduanzi mnatulea saiz Hata sishtuki.
Mtu unaleta uzi, mtu akija huko pm eidha usijibu au ulete maringo!

Huo si ni UDUANZI
Kumbe mnaendaga kweli PM😅😅😅😅😅
 
Zamani ndo nilikuwa napaparikia nyuzi za hivi kwa kukimbilia pm!!
Nilipogundua ni uduanzi mnatulea saiz Hata sishtuki.
Mtu unaleta uzi, mtu akija huko pm eidha usijibu au ulete maringo!

Huo si ni UDUANZI
Huwa wana angalia idadi ya men watao mfata pm.Na kujitathimini nyota zao.Wengi hawamanishi.
 
Mme poa nipo hapa karibu my wangu😁😁😁
AADGn0.jpeg
 
Back
Top Bottom