Natafuta mume

Natafuta mume

Mwanamke akiwa na mtoto usithubitu kabisa Wana dharau ugomvi kidogo anajifanya anapost mwanae kwamba mtoto ndo kila kitu
Demu nikimpenda nikijua ana mimba tu ya msela mwingine siwezi mpenda mpaka nakufa
Uliyenaye akichepuka, utaendelea kumpenda?
 
Mungu akujalie upate mtu atakayekupenda na mwanao. Ila kama unaona kuna hata kanukta ka moyo wako kapo kwa baba mtoto wako tafadhali futa haraka sana hii thread maana itakuwa usumbufu kwa kijana wa watu ambaye hana hatia yoyote. Single mama wa nyakati hizi wengi wenu mmekuwa wapuuzi mno. Mimi nilitaka kuoa single Mama kama mara mbili hivi ila nikaishia kupata maumivu tu kwasababu mijamaa iliyowazalisha muda wowote anaweza chafua hali ya hewa. Sasa hivi nimetulia nasubiri hawa walioko kidato cha sita sasa hivi wakimaliza chuo ndo nioe mmojawapo.
Huyo wa kidato cha 6 akienda chuo, madogo wanamgombania kama mpira wa kona.
 
Kuna singo Mama eti anataka niwe Baba wa watoto wake, yaani yeye 2, mimi 0, ni namba ina damu ya singidani huko, Mtoa mada Mungu akupatie hitaji la moyo wako, wanawake tufuate miiko yetu ya kiafrika,sanasana ya kitanzania.
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Mimi niko 44 Nimeoa single mama Nikaongeza na wangu 2 ,kama hutojali njoo huku kwenye dini ya haki ili nikufanye mke mdogo. Ila sina kazi wala nyumba naishi kwa mke mkubwa so kama nawe una makazi yakonicheck tuyajenge kiutu uzima
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 25-28
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
financial services naona unamtafuta mume kwa juhudi kubwa pambanaaaaa 🤣🤣🤣🤣 naruhusiwa kuja PM.. ?
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Mm naita na nakuitaji sana jmn mke wangu mtalajiwa
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Nyarusare atakufaa sana nae ana tafuta yuko humu mtafuteeee!! pili Kiranga nae hana mke mpigie
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Hapo kwenye mtoto mmoja ni kama umesema unaitaji mfanyakaz lakin awe nauzoefu wa miaka kumi katika makampuni makubwa manne
 
nichek hapa ila nipo chini ya hyo miaka na ni jobless kwa sbb boda boda yngu nimeipaki inasubiri matengenezo.

[emoji39] nipo dsm magomeni njoo pm .
😅😅😅😅😅😅 mbavu sina.
 
Back
Top Bottom