hazina memory hizoidadi ulio tembea nayo mpaka hapo ni ngapi weka wazi.
Ahsante...MJIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WATU, Mbona binadamu wengine mmekosa hofu kiasi hicho
Ungeolewa na aliekuzalisha.
"TIINYA AGATINYA AB'ANDI"
"Ogopa wanachokiogopa na wengine"
Nenda kaongezeke kidogo[emoji1]Vipi 32 anafikiriwa [emoji846][emoji846]
Kama kazaa na aliyezalisha mwingine awaoe wote?Nilitokea kumpenda single mama mmoja ila kilichotokea basi tuu,ila baadhi ya single mama ni kichefuchefu tuu,mtafute uliezaa nae akuoe
Alishakuwa damaged goods....yeye alee tuu mtoto wake basiSjaona haja ya kumshambulia dada watu.. hamjui anapitia nini au alichopitia.. nyie mna conclude
Sawa acha nitulie ,πππTulia kwanza.[emoji1787]
Ni kizazi cha Facebook na insta kilichohamia huku. Wapuuzi kwelikweli. Zamani hii page ilikuwa serious kwelikweli na wengi walipata wenza hapa siyo siku hizi full kukatishana tamaaVijana wa JF mmekua wa hovyo sana, Dada nakuombea Mungu ajibu haja ya moyo wako
Aende zake huko azalishwe na mwengine aje kutafuta mume hapa na machirizi yake ya uzazi na kovu la mshono.Ni kizazi cha Facebook na insta kilichohamia huku. Wapuuzi kwelikweli. Zamani hii page ilikuwa serious kwelikweli na wengi walipata wenza hapa siyo siku hizi full kukatishana tamaa
Wale wa Facebook wamehamia huku, wanaiua ile Jf ya GT taratibu huku wakiotesha ya kwao ya watu wa mambo myepesi myepesi, utani mwingi kwenye mambo ya msingi na wavivu wa kusoma article ndefu.Vijana wa JF mmekua wa hovyo sana, Dada nakuombea Mungu ajibu haja ya moyo wako
Hahah kmmk walahi [emoji23]nichek hapa ila nipo chini ya hyo miaka na ni jobless kwa sbb boda boda yngu nimeipaki inasubiri matengenezo.
[emoji39] nipo dsm magomeni njoo pm .