Don Vito
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 1,342
- 2,105
Dah man hapa umeharibuAende zake huko azalishwe na mwengine aje kutafuta mume hapa na machirizi yake ya uzazi na kovu la mshono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah man hapa umeharibuAende zake huko azalishwe na mwengine aje kutafuta mume hapa na machirizi yake ya uzazi na kovu la mshono.
Kwa kabila letu sisi tukioa mwenye mtoto tunamiliki na mtoto kwako ikojeNatafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko
Hii itamsaidia sana!au waoneshe kaburi lake vijana waamue.
Sasa msimtolee maneno ya kashfa.. bora yeye muwaziAlishakuwa damaged goods....yeye alee tuu mtoto wake basi
Ah wee wacha tumle mane o yake maana hawa ndio wanakuwaga na mane o mbofu mbofu wakiwaga vijana, oh mwanaume mwenyewe huna mbele wala nyuma.Sasa msimtolee maneno ya kashfa.. bora yeye muwazi
Weka sifa zako kwa ufasahaNatafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko
Na we huna mbele wala nyuma😂😂😂Ah wee wacha tumle mane o yake maana hawa ndio wanakuwaga na mane o mbofu mbofu wakiwaga vijana, oh mwanaume mwenyewe huna mbele wala nyuma.
Kama mche wa sabuni....🤣🤣🤣🤣Na we huna mbele wala nyuma😂😂😂
[emoji23][emoji23]Ila huyu kiumbeUpo wapi mrembo? Je unapendelea doggy style au wewe hupendi?
Bora uulize maana wengine wanakwambia kuwa hawapendi kuchunguliwa chura yao🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23]Ila huyu kiumbe
Tatizo sio vijana wa Jf,tatizo ni kwa muombaji,wengi wanategemea kuongea mengi PM,lakini kumvuta mtu kwenda PM hawawezi,maelezo ni shallow sana na hayavutii.Alafu binafsi huwa nachukia sana love connect,asimilia kubwa ya wanaotuma maombi ni wanawake ambao unakuja kupata hisia ya kumuonea huruma badala ya kumpenda.Vijana wa JF mmekua wa hovyo sana, Dada nakuombea Mungu ajibu haja ya moyo wako
Poleee😂😂😂😂Kama mche wa sabuni....🤣🤣🤣🤣
Sasa hivi hautaki mrefu, mwenye pesa na magari, eti hautaki tena "jentomeni" ulidhadhani utakua binti siku zote ?! Mashauzi yamekwisha sio ?!! Uliwaacha wanaume bora ukidhani utampata "jentomeni" sasa unaelekea uzee na uliowakataa wamezitafuta wamekua "majentomeni" na WAMESHAOA.Natafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko