Natafuta mume

Embu wacha hizo utakuwa unabaki home kuoshaa vyombo sahau mambo ya heshima.

M.b huu uzi uko hapa kuona mtakavyo jidhalilisha kuzama pm mkijua mnaenda kitoboa.
 
Mmmh dada umesoma, una kazi lkn unatafuta mwanaume yeyote?

Yaani uliko hata hutongozeki!.
Ukaamua kuja jf?

Kila la kheri.
Ushimen pita huku na utuwakilishe
 
Mke wangu una shida gani ?
 

Haya, njoeni mtapeliwe ndugu zangu, hakuna mtu mwenye elimu uliyonayo akose busara kama wewe kwa kuweka details zote hizo in public.

Na kama basi ( kitu ambacho siamini) una hiyo elimu, then that explains to me kwa nini umekosa mwanaume kwenye Mazingira yako.

Wadau, msije kusema sikuwaonya!
 
Swadakta Swadakta mungu akupatie mume mwema. kama uko series
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…