Natafuta Mume

Huu msimu wa sikukuu matangazo ya kutafuta waume yamekuwa mengi au ni coincidence tu!
 
Mimi ni mdada WA miaka 37 sina mtoto, natafuta mume WA ukweli. Mimi ni mkristo, ELIMU yangu form six, mjasiriamali mdogo.
Mwanaume awe na miaka 35 na kuendelea. Njoo PM tuongee kisha tukikubaliana ndipo tuanze safari
Good luck mdada
 
Mimi ni mdada WA miaka 37 sina mtoto, natafuta mume WA ukweli. Mimi ni mkristo, ELIMU yangu form six, mjasiriamali mdogo.
Mwanaume awe na miaka 35 na kuendelea. Njoo PM tuongee kisha tukikubaliana ndipo tuanze safari
Miaka 37 mwanamke anakuwa kapitia mengi kaolewa kaachika mara kadhaa
 
Mimi ni mdada WA miaka 37 sina mtoto, natafuta mume WA ukweli. Mimi ni mkristo, ELIMU yangu form six, mjasiriamali mdogo.
Mwanaume awe na miaka 35 na kuendelea. Njoo PM tuongee kisha tukikubaliana ndipo tuanze safari
Nakuja pm mrembo. Upo mkoa gani lakini
 
Kwa ushauri tu; punguza umri wa huyo mume mtarajiwa aanzie angalau miaka 30.
 
Dada kakaa mpaka saa saba usiku yuko online hapa jf..

Guys this is serious hebu.msaidieni dada yetu apate wa ubavu wake

Tatizo sio nyegeZI najua bikra hana ni kama Yanga tuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

changamoto ni kumpata IHEFU kumhakikishia leseni ya Ndoa tu BasiπŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…