Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nataka kukuita, lakini najisemea akose hapa? Mara paap mwamba huyu huyu hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻Nakuja pm mrembo. Upo mkoa gani lakini
Ah hapa nilishazama pm na kibuti nilishakula🤣🤣🤣🤣🤣Nilikuwa nataka kukuita, lakini najisemea akose hapa? Mara paap mwamba huyu huyu hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Why lakini wanakupiga vibuti? Hujui kujieleza huko... itakuwa unawaambia wewe dakika 2 tu ushazalisha wazungu 😀😀😀😀 na unataka mbususu tu.Ah hapa nilishazama pm na kibuti nilishakula🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kwani kumwaga wadhungu dakika mbili tatizo liko wapi? Sii tumesema kuwa wanaume tutafute hela...hivyo muda mwingi tuelekeze huko na sio kwenye kusimamia show. Na uziri wa dunia ya sasa wasaidizi wapo tuu.Why lakini wanakupiga vibuti? Hujui kujieleza huko... itakuwa unawaambia wewe dakika 2 tu ushazalisha wazungu 😀😀😀😀 na unataka mbususu tu.
Asante sanaNakuombea upate hitaji la moyo wako
Amen asante wanguGood luck mdada
Asante Sana SuchackKila la kheri,M/Mungu akufanyie wepesi upate hitajio la moyo wako
Asante Mshana Kwa maombi barikiwa wanguNakuombea upate hitaji la moyo wako
Atakuwa ni ....Una post moja tu!
Hizi mambo ya PM umeyajuaje?
Dada njoo na ID yako ya zamani tukufahamu vizuri kwanza😎
Basi nitumie namba yako PM mpendwa wanguMe ni mgeni hapa nimejiunga wiki ilopita Tu sina ID ya zamani mpendwa wangu
Umekula cha Arusha au cha Tarme leo jombaaa?CCM ndio Chama pekee cha Siasa kilichosheheni Wasomi wa viwango vya Juu kabisa katika maeneo yao ya ubobezi
Taja taaluma yoyote CCM hutamkosa
Samahani lakini
Majilio mema!
Mbona wewe ni mke mdogo wa mbowe na watu hawakupigii kelele .Niko Zanzibar kutafuta namnq ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.
Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.
Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?
Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu bibi mwamnyamazia ?
Nina miaka chini ya hiyo, vipi n
Jamani naomba mnisamehe bure mi ni mgeni hapa Kwa hiyo niliweka thread nikafikiri nareply kwenye thread niliyopost kumbe nimeingia mwingine. Nimekosea wapendwa nisamehewe bure Tu. Busy B nisamehe sister anguMambo dear.
Samahani kama nitakukwaza illa naona kama ingekua vizuri kama ungeanzisha uzi wako mpenzi.Hii comment yako tayari ishaleta confusion kwenye thread yangu mbaya zaid umechagua jina linalofanana na langu.Ndo unataka kuniibia mashemeji zako au?😁(kidding).
Anyways,nimesema tu na uwe na amani
Sio kosa lake nadhani mods wameunganisha uzi wake na wako. Kosa ni lao na sijui wametumia kigezo gani kufanya hivyo.Mambo dear.
Samahani kama nitakukwaza illa naona kama ingekua vizuri kama ungeanzisha uzi wako mpenzi.Hii comment yako tayari ishaleta confusion kwenye thread yangu mbaya zaid umechagua jina linalofanana na langu.Ndo unataka kuniibia mashemeji zako au?😁(kidding).
Anyways,nimesema tu na uwe na amani
Copy hiyo comment yako then paste kwenye uzi wako, na uandike mods wasiuunganishe na huu coz nyie si mtu mmoja.Jamani naomba mnisamehe bure mi ni mgeni hapa Kwa hiyo niliweka thread nikafikiri nareply kwenye thread niliyopost kumbe nimeingia mwingine. Nimekosea wapendwa nisamehewe bure Tu. Busy B nisamehe sister angu