Natafuta Mume

Natafuta Mume

Ah hapa nilishazama pm na kibuti nilishakula🤣🤣🤣🤣🤣
Why lakini wanakupiga vibuti? Hujui kujieleza huko... itakuwa unawaambia wewe dakika 2 tu ushazalisha wazungu 😀😀😀😀 na unataka mbususu tu.
 
Why lakini wanakupiga vibuti? Hujui kujieleza huko... itakuwa unawaambia wewe dakika 2 tu ushazalisha wazungu 😀😀😀😀 na unataka mbususu tu.
Sasa kwani kumwaga wadhungu dakika mbili tatizo liko wapi? Sii tumesema kuwa wanaume tutafute hela...hivyo muda mwingi tuelekeze huko na sio kwenye kusimamia show. Na uziri wa dunia ya sasa wasaidizi wapo tuu.
 
Nina miaka chini ya hiyo, vipi naweza walau kufikiriwa!?
 
All the best.

Allah akufanyie wepesi kwenye hili. Ingawa atakayekua na wewe inabidi awe matured kweli kweli maana atakuja kubeba majuto yako yote na hustle zako...

Yani hapo anatakiwa kuja kukufurahisha wewe ila sio mfurahishane....
 
CCM ndio Chama pekee cha Siasa kilichosheheni Wasomi wa viwango vya Juu kabisa katika maeneo yao ya ubobezi

Taja taaluma yoyote CCM hutamkosa
Samahani lakini

Majilio mema!
Umekula cha Arusha au cha Tarme leo jombaaa?
 
Niko Zanzibar kutafuta namnq ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu bibi mwamnyamazia ?
Mbona wewe ni mke mdogo wa mbowe na watu hawakupigii kelele .

USSR
 
Nina miaka chini ya hiyo, vipi n

Mambo dear.
Samahani kama nitakukwaza illa naona kama ingekua vizuri kama ungeanzisha uzi wako mpenzi.Hii comment yako tayari ishaleta confusion kwenye thread yangu mbaya zaid umechagua jina linalofanana na langu.Ndo unataka kuniibia mashemeji zako au?😁(kidding).
Anyways,nimesema tu na uwe na amani
Jamani naomba mnisamehe bure mi ni mgeni hapa Kwa hiyo niliweka thread nikafikiri nareply kwenye thread niliyopost kumbe nimeingia mwingine. Nimekosea wapendwa nisamehewe bure Tu. Busy B nisamehe sister angu
 
Mambo dear.
Samahani kama nitakukwaza illa naona kama ingekua vizuri kama ungeanzisha uzi wako mpenzi.Hii comment yako tayari ishaleta confusion kwenye thread yangu mbaya zaid umechagua jina linalofanana na langu.Ndo unataka kuniibia mashemeji zako au?😁(kidding).
Anyways,nimesema tu na uwe na amani
Sio kosa lake nadhani mods wameunganisha uzi wake na wako. Kosa ni lao na sijui wametumia kigezo gani kufanya hivyo.
Huenda majina yenu kufanana yamewachanganya
Jamani naomba mnisamehe bure mi ni mgeni hapa Kwa hiyo niliweka thread nikafikiri nareply kwenye thread niliyopost kumbe nimeingia mwingine. Nimekosea wapendwa nisamehewe bure Tu. Busy B nisamehe sister angu
Copy hiyo comment yako then paste kwenye uzi wako, na uandike mods wasiuunganishe na huu coz nyie si mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom