Habari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuanzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana M iko wazi.
Asanteni.
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuanzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana M iko wazi.
Asanteni.