Kila la KheriHabari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33.Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani.Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali.Umri kuaninzia 34 na kuendelea,awe muwazi na mkweli.
Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
😂😂sijui hajaionaaI wish you could've read my thread before posting yours,,,
mimi mwenyewe nina huitaji sema sina pesa ila kula utakula pm iko waziHabari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33.Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani.Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali.Umri kuaninzia 34 na kuendelea,awe muwazi na mkweli.
Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
Oh Asante MunguHabari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33.Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani.Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali.Umri kuaninzia 34 na kuendelea,awe muwazi na mkweli.
Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
Umri tu sijafikisha hiyo miaka tungeanza safari salamaHabari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33.Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani.Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali.Umri kuaninzia 34 na kuendelea,awe muwazi na mkweli.
Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
MATATA bado hakuna kilichoharibika...hebu zama chimbo, nina imani inawezekana muda sii mrefu huu uzi ukafungwa rasmi.I wish you could've read my thread before posting yours,,,
huna makuu bi dada, Mungu akujalie hitaji la Moyo wako!!!Awe na akili timamu na awe shughuli halali.
Awe na akili timamu