TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Sema mpangwa mimi na mizimu ni damu damu,hapo kwenye mcha Mungu simo mimi ni mcha mizimu ,naiheshimiwe mizimu ya Kipangwa tafadhali😀Habari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Elimu ya maisha usilinganishe na elimu ya darasani kuna wenye degree alaf wanazidiwa elimu ya maisha na mtu ambae hajasoma degree ipo kwenye makaratasi tuu na elimu yetu ni ya kujibia mitihani haina uhusiano na uelewa wa maisha au uwajibikaji kwenye mahusiano na kwenye jamii tena vijana wasomi miaka hii ndo wanaongoza kwa anasa uasherati na utandawazi wa magharibi,level ya ujinga au uelewa wa mtu haupimwi kwa degree,elimu ya darasan haina mahusiano kabisa na haimfanyi mtu kuwa smart katika mahusiano,chuoni sikuizi ndio sehemu ya uraibu wa tabia za kina dada zetu na ndio hao hao wadada wa chuo wanaoongoza kujiuza nchi hii sasa iyo elimu imewasaidia nini?.....imefika hatua sikuizi wanaume hawawezi kuoa wadada wanaotoka chuo kwasababu ya mambo haya...elimu inamkomboa mtu katika nyanja ya taaluma tuu sio mambo ya kijamii,tabia wala mahusiano.Hakuna Degree ambayo haina uhalisia wa maisha..uwezo wenu mdogo wa kufikiria unafanya muone Degree hazina uhalisia wa maisha...
NakaziaMgejua degree it just piece of paper ...mgeondoa hayo mawazo ya inferioty complex
Kuwa na degree doesn't mean mtu yupo smart kichwani na anaelewa namna ya ku-take of Family
Hakuna kundi la watu wajinga Kama Wasomi wa Tz it is up to you .
Vigezo na masharti vimezingatiwa punguzeni woga vijana,Baba wa mtoto hayupo...Habari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Iiwee! Muhaya unaponda digirii kweli?? Kama umezaliwa kipindi Cha IDDI Amin lazima itakuwa ni Mkurya tu!Mgejua degree it just piece of paper ...mgeondoa hayo mawazo ya inferioty complex
Kuwa na degree doesn't mean mtu yupo smart kichwani na anaelewa namna ya ku-take of Family
Hakuna kundi la watu wajinga Kama Wasomi wa Tz it is up to you .
Naomba tushirikiane kwenye kujiajiri nimevutiwa hapoHabari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Habari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Ajali ya gariBaba mtoto alifariki kwasababu gani?tuanzie hapa kwanza..
Bolded👍🏽Ni sifa zake mkuu kama wewe hujasoma kinachokuuma yeye kujitangaza ana degree ni nini. Kuna watu wanapenda mwanamke aliyesoma wewe unapenda mwanamke asiyeenda shule kila mtu ana choices zake hivo waache w anaomatch naye wataongea naye wee pita kuleeeeeee
Habari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Pole sana dada..Mungu akupe hitaji la moyo wakoAjali ya gari
Mgejua degree it just piece of paper ...mgeondoa hayo mawazo ya inferioty complex
Kuwa na degree doesn't mean mtu yupo smart kichwani na anaelewa namna ya ku-take of Family
Hakuna kundi la watu wajinga Kama Wasomi wa Tz it is up to you .
hili tangazo sikuliona sijui nilikuwa wapi tuHabari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Ikifika pale pa 'YEYOTE ILI MRADI ANAPUMUA' Mniamshe![emoji1787][emoji1787]hili tangazo sikuliona sijui nilikuwa wapi tu
Kwa kuwa ndiyo ndoto yako Mungu hatakuacha - endelea kumwaminiHabari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Akikuambia alianguka na gari?Baba mtoto alifariki kwasababu gani?tuanzie hapa kwanza..