Hii mitandao kaka we acha tu kuna watu huwa nashindwa kuwaelewa unaweza ukakuta ni mwanaume anatafuta attention tu.Kwa kweli hapa kuna walakini. Inaonyesha huyu ni mtumba grade ya chini kabisa
nawe unataka net salary iwe kuanzia ngapi π₯Ήπ₯Ή, huku tumeshashindwaWaoh[emoji1787]Mambo nitapendayo haya..very true[emoji108]Open and Transparency..No Unafki attached [emoji1787][emoji1787][emoji112]
All the best ndugu yangu [emoji4]
Kigi Makasi Hahahahhanawe unataka net salary iwe kuanzia ngapi π₯Ήπ₯Ή, huku tumeshashindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahv tumebakia tu kuponda kwenye comments ila ukweli ni kwamba tumepigwa na kitu kizitoKigi Makasi Hahahahha
Usilie bathiii mwendo ni ule ule japo me nitalegeza kiduchuuuuuu [emoji383][emoji383][emoji1787][emoji1787][emoji112]
Kigi MakasiSahv tumebakia tu kuponda kwenye comments ila ukweli ni kwamba tumepigwa na kitu kizito
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambieni aisee, hivi vigezo mpaka ndotoni hatuvifikiagi [emoji23][emoji23]Mwanaume mwenye vigezo unavyotaka Huwa anawake tayari aliekuwa nae wakat anaanza na 1 had wakafikia 100,na ukikuta yupo single maybe wametalikiana au mkew amefariki
Kwanza kwa sifa anazozitaka yeye hakuna na hawezi akampata never πMwanaume mwenye vigezo unavyotaka Huwa anawake tayari aliekuwa nae wakat anaanza na 1 had wakafikia 100,na ukikuta yupo single maybe wametalikiana au mkew amefariki
Kabisa anatupanga huyuKwa sifa ulizozitaja hapo huna haja ya kutafuta mme mtandaoni.
Wajinga ndiyo waliwao.
ππππisipo kua wasabato
Pata picha tunatindua ukuta na vishoka vumbi lote usoni.π π π anahitaji ME wanne tofauti
mimi sipo kati ya hao wanne
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Pata picha tunatindua ukuta na vishoka vumbi lote usoni.
Mchana shida ya vumbi usiku mbu na mafuta then uje take hela yangu kiwaki namna hii.
Kwako Mtoto wa Azzan Zungu
Kaka Napenda kujichanganya mimi sio Tindo hadi shambani nimo.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
bishoo na wewe unashika tindo ?
maajabu haya
shamba la Monduli au Ilala ?Kaka Napenda kujichanganya mimi sio Tindo hadi shambani nimo.