dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
π π π anahitaji ME wanne tofauti
AiseeLabda alitoka high school akiwa un sealed
Mkuu....Mbona kama muandiko wa njemba hivi...
Anyway Mungu akupe hitaji la moyo wako
Duh....Haijastify muwe mnamwaga mbegu kwenye vikopo vya babe care ππ
hali tete mzee, naona kutoka kabisa kabisa kunagonga mwamba kabisadronedrake si unaona lakini hawa mabinti??
Mchana yupo busy na masomo au kazi. Jioni ana session na kungwi maunoMiaka 26 ufundi wa kitandani ulijifunzia wapi ππ
kama kweli yuko serious atakufa single huyo.... amekaza sanaHaijastify muwe mnamwaga mbegu kwenye vikopo vya babe care ππ
Labda thesis yake ya masters ilikua practicle ya hayo mambo loh!!!Eeemen....
Hivi wa sabato wana kasoro gani mpaka wawe isolated na wa Kristo wengine?Hilo la usabato limenifanya nicheke tu. Mimi sio msabato lakini
acha wivu basiii, nikaonyeshwe ufundiMiaka 26 ufundi wa kitandani ulijifunzia wapi [emoji23][emoji23]
Na MA yako shoga angu we gonjwa la hatari umeona ukimwi tu πππ. Awe tayari kupima VVU
Wasabato wako strictly sana. Hawataki ujinga ujinga na kuvaa nusu uchi na ulevi. Huyu anataka mtu asiyemkataza kuvaa vimini na kunywa kunywaHivi wa sabato wana kasoro gani mpaka wawe isolated na wa Kristo wengine?
Una mtaji wa M100?acha wivu basiii, nikaonyeshwe ufundi
Hapo kasoma masters fikiria kama asingekuwa kasoma. Hivi HIV ni nini mbele ya homa ya iniNa MA yako shoga angu we gonjwa la hatari umeona ukimwi tu πππ
Huo ukimwi wenye huko Hosp wanagawa dawa bure.
Google homa ya Ini, afu urudi hapa nikupe kaka angu dronedrake take home yake ni M7 monthly.
Yaan kuanzia mtaji wa million 100, kazi yenye mshahara angalau mil 3, fundi kitandani. Hao takribani watu watano tofauti[emoji38]Habari zenu wapenzi. Mimi ni mwanamke wa miaka 26. Ninahitaji mwanaume atakaye kuwa mme wangu
Sifa zangu:
1. Ni mrefu kiasi wa cm 170
2. Nina rangi ya maji ya kunde
3. Nina shape ya kibantu, nimejaaliwa umbo
4. Nina elimu ya chuo kikuu shahada ya uzamili (Masters)
5. Ninafanya kazi ya kuajiriwa katika shirika mojawapo la umoja wa mataifa hapa Tanzania.
6. Ni mkristo mkatoliki
7. Ni mtii na wa kujishusha ninae amini katika u kichwa wa mwanaume kwenye ndoa.
Sifa za mwanaume nimtakaye.
1. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipo kua wasabato
2. Awe kwenye maadili mema, asie kunywa pombe Wala sigara
3. Awe aidha na elimu ya chuo kikuu walau bachelor degree, au Kama Hana elimu hiyo, awe na biashara isio pungua mtaji wa milioni Mia moja
4. Awe na kazi yenye kipato kisicho pungua milioni tatu kwa mwezi
5. Awe tayari kupima VVU
6. Awe fundi kitandani (Mimi nipo vizuri eneo Hilo)
7. Awe na umri wa miaka 32 Hadi 40.
Kama una sifa hizo karibu pm. Kama huna waweza kupita kwenye thread zinazo kuhusu.
Ahsanteeh