Natafuta mume

mbona mashart mengi we acount yako inasoma bilion ngapi? ina tv kwani? ....si tuko bize na nyeto huku haina mashart kama hayo
 
Heheee
Jiandae kisaikolojia 😂😂
Huko hamna hata ile kitu ya kupaka kwa lips zianze kuwaka waka kama umetoka kula kitumbua.

Labda kaka asiwe yuleeee wa kunogea udinini 😎😍🙈
😂😂😂
Vile naenda kinyume na vitu vingi vya ndugu zangu wasabato sijui nitaweka wapi sura yangu..!!
Kweli niache kitimoto kabisa..??
 
Hivi wa sabato wana kasoro gani mpaka wawe isolated na wa Kristo wengine?
Ki ukweli kwenye dini weee acha tu...
Unaweza ukamoenda mtu lakini Imani yake ikawa tatizo....boda msilamu kuliko mashahidi WA yehova weeeee hatari.
Kwa hiyo alivyosema msabato nimemuelewa
 

 
Ki ukweli kwenye dini weee acha tu...
Unaweza ukamoenda mtu lakini Imani yake ikawa tatizo....boda msilamu kuliko mashahidi WA yehova weeeee hatari.
Kwa hiyo alivyosema msabato nimemuelewa
Kabla hujaanza kumpenda si uwa tunajua imani? Ukikaza ukaendelea na mapendo maana yake uko baadae uko tayari kwa mikimiki ya utofauti wa dini
 
Wakati taifa linajadili mambo ya Mkataba wa bandari na DP World, wewe unatafuta Mwanaume mwenye biashara ya M100?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…