Natafuta mume

We unaonaje,sio tego hili [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dear nimestaafu sasa, au ndo nazeeka hata sielewii.

Afu watu hawakomiii, na wataenda pigwa vibaya mno huko Pm

kidney toleo jipyaa afu hana bayaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulimaliza form six na miaka 21, ukasoma bachelor miaka 3, hiyo ni 24 ukasoma masters miaka 2 hiyo ndo 26. Hata ujapumzika unatafuta mme ambae ni fundi kitandani, wewe huo ufindi ulijifunzia wapi?
Haya ni wanaume kupenda mteremko, wanajigeuza wanawake wawapige washamba, huu ni mwandiko wa kiume...shtuka
 
Umeliaibisha sana dhehebu la wakristu wakatoliki.

Wakatoliki hawajikwezi namna hiyo.
 
Hahahaa eti biashara yenye mtaji wa zaidi ya milioni 100 au kipato cha milioni 3 kwa mwezi. Niwe na pesa mfukoni halafu niende dampo la vyakula kuokoteza uchafu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…