Natafuta mume

maelezo zaidi kuhusu mm ni pm utayapata. vigezo umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mimi nina miaka 29 na ni mama wa mtoto mmoja.

Umenena jema, unataka wa kukuoa au wa kukuliwaza? Kama kuliwazani mie niko tayari na nina amini nitakufaa. Ila nipo Mbeya lakini usafiri si shida kuna Sumry na Hood kila siku zipo, Karibu sana Mbeya
 
Duh, offer ya asubuhi asubuhi hii, mwezi umeshakata hapa, ok ok utapata akufaaye ndio ombi langu
 
"maswitule" nahitaji wakuishi naye tulee familia kama ni kuliwazana mbona naweza kuwapata wengi sana tu. ila kwa sasa nimechoka nahitaji mwenzangu.
 
mwaJ, eti huyu pacha wako?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Oya mwa j. Mimi naona kama unatuzingua, hebu achana na mambo ya wachumba, fanya mambo mengine.
 
biola picha hupati mtu hapa usije ukawa kama tetracycline kwa sababu wabaya jinsi mnavyojichubua unaweza kuta pua na masikio meusii kwa sababu hizo sehemu mchina kagonga mwamba.

tupiamo picha ulambe shavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…