Natafuta mume

Natafuta mume

Baba mtoto yuko wapi??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
maelezo zaidi kuhusu mm ni pm utayapata. vigezo umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mimi nina miaka 29 na ni mama wa mtoto mmoja.
Mie Nina 100-75, ila na vigezo vyote.... Unavyo hitaji ni PM tuelezane vizuri
 
kumbe wanaumme mmeadimika! aiseee!
tumeandmika wapi ndugu zetu hawa nao chenga tu siku hizi mtu unakutana naye siku ya kwanza ukishamwaga mistari fresh jiandae usiku kupokea sms za kuombwa ngawila eti nimekwama mpnz,khaaaaaa siku moja ningeuke ATM!
 
Anayetaka picha ye anaangalia nn?
Jagarld wengine hatupo after money kama unavyodhani
 
Last edited by a moderator:
natumaini mpaka sasa pm yako imeshajaa maombi...kila la kheri
 
Anayetaka picha ye anaangalia nn?
Jagarld wengine hatupo after money kama unavyodhani

mpaka hapo mwajei una kila sifa ya kuwa mama Jagarld,ebu nipm tuone tunafanyaje basiiii!
 
Last edited by a moderator:
Umempata. Wasiliana na huyu bwana

001.jpg
 
Back
Top Bottom