Natafuta mume.

VIGEZO NA MASHART KUZINGATIWA, imekaa kama promotion ya tigo vile.....samahan lakin
 
Asante sana kwa elimu. Anyway maana yangu ilikuwa kwamba menopause si kikwazo
Menopause inaweza kuwa kikwazo in one way or another, vp kama ni mvutaji? au anafanya diet sana kama dada zetu wa siku izi? no offence but anything is possible japokuwa si wakati wa ku-judge yote hayo, dada anataka mchumba umri umemtupa mkono
 
VIGEZO NA MASHART KUZINGATIWA, imekaa kama promotion ya tigo vile.....samahan lakin

Kila jambo lina terms and conditions..na katika hili watu wawili lazima wakubaliane ili kufika mwafaka.. usitishike mkuu sio matangazo ni nia njema tu ya kujenga
 
Menopause inaweza kuwa kikwazo in one way or another, vp kama ni mvutaji? au anafanya diet sana kama dada zetu wa siku izi? no offence but anything is possible japokuwa si wakati wa ku-judge yote hayo, dada anataka mchumba umri umemtupa mkono

kwa hiyo kama umri umeenda unataka nisiwe na mwenza au mpenzi/mume?sikuelewi
 
Kila jambo lina terms and conditions..na katika hili watu wawili lazima wakubaliane ili kufika mwafaka.. usitishike mkuu sio matangazo ni nia njema tu ya kujenga
by the way tangazo limetulia
:majani7:
 

Sprin Kuna wakati unatoa point mpaka na kukubali. ushauri mzuri huo
 

Uwe makini ndugu! Si kila atakae kua anakuambia anakupenda atakua anamaanisha! Kila mtu na bia yake, usiamini sanaa love za kwenye social network ni wachache sana wanamaanisha wanachkisema.
Kila la kheri!
 
Wewe sema amina tu hapa. Anakuja kama kondoo, akigeuka anakurarua,lol. Asprin, wakezo 4 hawajambo? Na wale masuria je?

Hahahaha! mwone kwanza! Hujui leo ni siku ya Bwana yatupasa tumtumikie.

Wote hawajambo ila niko kwenye mchakato wa kutaliki mmoja baada ya mmoja niingize matoleo mapya lol
 
Last edited by a moderator:
Ina maana siku zote huwa namwaga pumba kama Kongosho na King'asti?

Ntake radhi kabla sijakasirika.

Mi nakasirikaga sana jamani.

Misijasem Kuwa wakati mwingine unamwaga pumba. nilikuwa namaanisha point kubwa kuliko za siku zingine Asprin dont quote me wrong kumradhi bana si unajua kiswahili shida huku
 
Halafu itakuwa wa kubonywa tu!
Hata kubonywa hapendi hapo, maana hamu ya sex inapungua kwa kiasi kikubwa sababu vaginal fluids zinapungua, so uinjoi tena kumbonya maumivu tu ndo anapata.
 
wewe mtafute mwenyewe alipo huna haja ya kueleza kila kitu hapa yeye ametoa taarifa yake sasa wewe wasiliana nae kwani mpaka e mail ametoa, sasa usimpotezee muda hajakuuliza mshara wako wala kazi uifanyayo
Mimi kabla ya yote utwambie wewe unafanya kazi gani na kipato chako kwa mwezi nishilling ngapi hapo tuone kama masharti na vigezo vimezingatiwa nihayo tu!
 

Uwe makini ndugu! Si kila atakae kua anakuambia anakupenda atakua anamaanisha! Kila mtu na bia yake, usiamini sanaa love za kwenye social network ni wachache sana wanamaanisha wanachkisema.
Kila la kheri!
Thanks and noted for future use...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…