Hi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Mchaga...!!!???
Aya sasa wenye kuhitaji mke!!ila Keria tatizo umri unaouhitaji wengi wana ndoa zao ivyo so jua utapata kaugumu kidogo;;;;ol the best.
Si jambo baya mtu kutaja vigezo vya mtu anayemtaka, tatizo ni mambo mawili, interval ya umri ( 33-36) na labda uchaga, maana utakuwa ume confine your search kwa kundi dogo la wanaume( wenye huo umri na conceivably wachaga wenzio maana wachaga wanawezana wenyewe, mwenzangu na mimi ukaoe mchaga unataka wandengereko wenzagu wasikanyage kwangu!)
Aya sasa wenye kuhitaji mke!!ila Keria tatizo umri unaouhitaji wengi wana ndoa zao ivyo so jua utapata kaugumu kidogo;;;;ol the best.
Hi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Hi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Wapo ambao hawajaoa mkuu,tena wengi 2
umeshatembea kilometa ngapi?