Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Hi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Aya sasa wenye kuhitaji mke!!ila Keria tatizo umri unaouhitaji wengi wana ndoa zao ivyo so jua utapata kaugumu kidogo;;;;ol the best.