philipo gaston
New Member
- Jul 28, 2013
- 1
- 0
hapanamimi mfupi! Vipi nafit?
acha kuandika kikuryanikijipaka chokaa utanikubari? Maana mweupe sijui kama kunabinadamu mweupe, mini niwa njano
Ha ha haaaaa! Jamani si ndio apendacho? Lol!we mbaguzi wa rangi, ati mchumba awe mweupe! We kaburu ? Kwenda huko!
Amina kakangu.ubarikiwe^^
Ajuaye yote ni Mungu.
Nakuombea Mungu umpate aliyae haki yako.
Usikatishwe tamaa na yeyote,maadam una nia uwe na amani.
Akutakiae baraka,
Himidini.
^^
Amina kakangu.ubarikiwe
Just ni-pmHi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Kwani ukiolewa na mtu wa elimu ya kawaida tu utapungukiwa nini au hautaitwa KERIA nakushauri angalia mtu mwenye upendo wa dhati na anayekujali achana na masharti yasiyo na maanaHi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM