Natafuta mume

Natafuta mume

nikijipaka chokaa utanikubari? maana mweupe sijui kama kunabinadamu mweupe, mini niwa njano
 
Mzee wa upako wa chanel ten au mchungaji gettrude au christina shusho,au umejaribu kuwaomba wakutafitie mchumba kanisani?
 
^^
Ajuaye yote ni Mungu.
Nakuombea Mungu umpate aliyae haki yako.
Usikatishwe tamaa na yeyote,maadam una nia uwe na amani.
Akutakiae baraka,
Himidini.
^^
Amina kakangu.ubarikiwe
 
Hi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Just ni-pm
 
Hi wana JF.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32,mzaliwa wa K'njaro.Nina elimu ya Chuo Kikuu na ni muajiriwa serikalini.Muonekano wangu ni mweupe,mfupi na umbo la wastani.Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza, natafuta mwanaume wa kikristo, mweupe,miaka 33-36 ambaye km tukiridhiana tutanza urafiki, uchumba an then ndoa. Awe na elimu ya chuo kikuu,mpenda maendeleo,asiyetumia kilevi n aliye tayar ani PM
Kwani ukiolewa na mtu wa elimu ya kawaida tu utapungukiwa nini au hautaitwa KERIA nakushauri angalia mtu mwenye upendo wa dhati na anayekujali achana na masharti yasiyo na maana
 
Duh, miaka 32? Sorry kukuliza lakini, haraka haraka umevunja mahusiano ya kimapenZi ngapi? Nawaogopa mimi mmh heri la7 tu
 
Back
Top Bottom