Natafuta mume

Natafuta mume

Wewe,humu sio fb na tweeter ambako wamejaa watoto. Humu kuna bibi na babu zako. Jaribu kufuatilia coments za watu ndo utajua huku sio kwa watoto. Just jiulize Andrew Nyerere ana miaka mingapi? Yuko humu na age mate wake kibao!

OK sawa mi nakubali kuwa labda sina umri mkuubwa kivile ila nnachojua ni kuwa nimekuwa sana kimawazo..kulingana na mazingira na vitu vingine...na mimi still namshangaa 44 yrs unatafuta mume ili iweje...hata menopause keshaingia possibly...what for??? 44 yrs uko hai...ni muda muafaka wa kumtafuta mungu kwa nguvu zote na kuhakikisha unaonyesha vijana na watoto (wajukuu) njia... ebu fikiria bana...acha kufata mkumbo na mambo ya kisasa...fb inaweza kua na watoto sawa..ila twitter sikubaliani na wewe...mimi siko fb...niko twitter...twitter hamna watoto/au watu wavivu kupambanua mambo.
 
Huja2tulia wewe, maex tena..!au nataka wa2 wang'oane meno.? yeye mwenyewe anatakiwa aweke bayana ili atakae kuwa interested anajipima kama anafaa CV muhimu. :becky:
Best hiyo si ndio kazi ya referees lol. Unapewa namba za maex 3, unawapeleka kwenye biya mnahojiana.
 
44yrs is not too mature to miss a fellow! lakini ktk umri huo inategemewa atakuwa ame settle yupo kwake na mwenza wake vilevile,maadam be openly! once 2 combine they became higher!
 
Dah anti, 44 bado unataft mwanaume wa nin, we jaribu kuendesha gurudumu la maisha peke yk, kwasabab umri uo huwez kumpata mtu wa rika yk akakulizisha, cha muhimu, fanya mazoezi kwa sn, af fanya kaz zk kwa kujiingzia kipato mwnyw
 
OK sawa mi nakubali kuwa labda sina umri mkuubwa kivile ila nnachojua ni kuwa nimekuwa sana kimawazo..kulingana na mazingira na vitu vingine...na mimi still namshangaa 44 yrs unatafuta mume ili iweje...hata menopause keshaingia possibly...what for??? 44 yrs uko hai...ni muda muafaka wa kumtafuta mungu kwa nguvu zote na kuhakikisha unaonyesha vijana na watoto (wajukuu) njia... ebu fikiria bana...acha kufata mkumbo na mambo ya kisasa...fb inaweza kua na watoto sawa..ila twitter sikubaliani na wewe...mimi siko fb...niko twitter...twitter hamna watoto/au watu wavivu kupambanua mambo.

xcly u r 2ru
 
OK sawa mi nakubali kuwa labda sina umri mkuubwa kivile ila nnachojua ni kuwa nimekuwa sana kimawazo..kulingana na mazingira na vitu vingine...na mimi still namshangaa 44 yrs unatafuta mume ili iweje...hata menopause keshaingia possibly...what for??? 44 yrs uko hai...ni muda muafaka wa kumtafuta mungu kwa nguvu zote na kuhakikisha unaonyesha vijana na watoto (wajukuu) njia... ebu fikiria bana...acha kufata mkumbo na mambo ya kisasa...fb inaweza kua na watoto sawa..ila twitter sikubaliani na wewe...mimi siko fb...niko twitter...twitter hamna watoto/au watu wavivu kupambanua mambo.

it dosnt matter if she is 44 or 70,its her life,she deservs to be happy like anyone else,and who told u tht older women cant marry....?look at Tina Turner kafunga ndoa tu juzi at the age of 70 and she looked beyond stunning.LIFE IS TOO SHORT ohhhhhhhhhhh#Team be happy
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 44 natafuta mwenza, mwenye mapenzi ya kweli nina mtoto moja wa kike.Napenda mwanaume mwenye kujishugulisha iwe biashara au kuajiriwa, kama ana watoto wasizidi 2, kwa yule alie serious tu ani PM

Duh! Unakumbuka shuka kukishakucha? Pia humu kwenye mitandao siyo shm sahihi pa kutaftia mume zaidi zaidi utakumbana na mitihani lukuki!
 
it dosnt matter if she is 44 or 70,its her life,she deservs to be happy like anyone else,and who told u tht older women cant marry....?look at Tina Turner kafunga ndoa tu juzi at the age of 70 and she looked beyond stunning.LIFE IS TOO SHORT ohhhhhhhhhhh#Team be happy

ahah angalia comment yangu...nimemshauri huyo bibie aache kufuata mkumbo na mambo ya kisasa...aidha nimemshauri ajitahidi kupambanua mambo kwa mapana yake..nadhani huu ushauri utakufaa hata wewe...It needs to reach a point where u think with your own head bana/come on..44yrs? kama una hela fanya charity work/go places you wished/pray dont try and live other culture's life..lazima utaonekana kituko tu...
 
Hey,jaman mbona watz tunakua hivyo?huyu dada anatafuta faraja au tulizo la moyo wake ss tunamkatisha tamaa,laiti ungekuwa ww ungejisikiaje?ana haki ya kikatiba kutoa maoni yake kama halikuhusu achana nalo,eboo acheni hizo bhana,wapo nini maana ya utandawazi?dada hebu ni PM achana na wasioelewa maana ya utandawazi.
 
All the best mama god will answer your prayers
 
Yule aliyefunga ndoa na Philip Mangula si ana umri mkubwa zaidi ya huyu? Natasha je?
 
Hey,jaman mbona watz tunakua hivyo?huyu dada anatafuta faraja au tulizo la moyo wake ss tunamkatisha tamaa,laiti ungekuwa ww ungejisikiaje?ana haki ya kikatiba kutoa maoni yake kama halikuhusu achana nalo,eboo acheni hizo bhana,wapo nini maana ya utandawazi?dada hebu ni PM achana na wasioelewa maana ya utandawazi.

Ver true, mpeleke PM mkaongee
 
Back
Top Bottom