Natafuta mumeo wa kunioa

men have a tendency to slightly harder straight lines; women’s handwriting is slightly more rounded
 
Naondoka na neno "MUMEO" maana nilidhani umekosea kuandika nikurekebishe
 
Komwe unalo!
Maana ninyi Wakenya mnaongoza Afrika mashariki kwa makomwe.
 
Wanawake wa Kenya hapana kabisaaaaaa kabisaaa, siwashauri vijana wa kiume wa Tanzania kuoa Kenya
 
Sijakuelewa unamtafuta mumeo wa kukuoa?
 
Picha yko please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…