Natafuta mumeo wa kunioa

Natafuta mumeo wa kunioa

Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
men have a tendency to slightly harder straight lines; women’s handwriting is slightly more rounded
 
Naondoka na neno "MUMEO" maana nilidhani umekosea kuandika nikurekebishe
 
IMG_20250218_162229_695.jpg
 
Komwe unalo!
Maana ninyi Wakenya mnaongoza Afrika mashariki kwa makomwe.
 
Wanawake wa Kenya hapana kabisaaaaaa kabisaaa, siwashauri vijana wa kiume wa Tanzania kuoa Kenya
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Sijakuelewa unamtafuta mumeo wa kukuoa?
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Picha yko please
 
Back
Top Bottom