Professor X
Member
- May 29, 2020
- 45
- 60
- Thread starter
- #21
amnashida mkuu kariu sana sanaKama hujapata kazi basi vuta subira. Ndani ya mwezi huu nitakutafuta. Nina mpango wa kuingia kwenye hii industry. Ngoja nii save namba yako.
Napenda sana kufanya kazi na vijana wenye vipaji na wanao jitambua. Naamini na wewe utakua ni mmoja wao.