Usisubiri akutafute, nenda PM. Huyu ndugu kuna wakati aliweka uzi wa kutafuta kijana anaeweza kufanya shughuli za aina yako ili yeye aweke mtaji.nisamehe sana mkuu kunatatizo lilitoke kwenye simu yangu lakini kwa limetatuliwa tunaweza kuwasiliana tena 0743150860
wakuu samahani kama kuna mtu alijalibu kuwasiliana na mimi izi siku za karibuni na akuweza kunipata au kushindwa kuwasiliana vizuri niliapata shida kwenye simu yangu ivyo niwaombe tu samahani na tunaweza kuendelea kuwasiliana tena 0743150860Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).
Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi
1.Video Light kit
2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D
3.Boya mic
4.Speed light
5.Strobe
6.Background
7.lens
8.memorycard
9.Stand
10.Compute
11.Reflactor
12.Printer
KUHUSU MIMI
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa
UZOEFU WA KAZI
Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao
MAWASILIANO YANGU
0743150860 Voda 0688176045 Airtel
Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu
Pitia uzi wake huu, ( Ugumu wangu )and then mtafute PM.Kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira
Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuzamia moja kwa moja kwenye mada, Katika kuwaza kwangu na Jana kupita maeneo mengi mahali nilipo na kuona bidhaa ambazo kwangu zilinipa wazo ila Mimi sio mjuzi na Sina mda wa kujifunza au kufanya shughuli ya namna ile. Niliamua kwa Nini nisiwape vijana wa...www.jamiiforums.com
shukurani sana mkuuUsisubiri akutafute, nenda PM. Huyu ndugu kuna wakati aliweka uzi wa kutafuta kijana anaeweza kufanya shughuli za aina yako ili yeye aweke mtaji.
nilivyo soma huu uzi daah mwili umetetemeka aiseeeeeKijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira
Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuzamia moja kwa moja kwenye mada, Katika kuwaza kwangu na Jana kupita maeneo mengi mahali nilipo na kuona bidhaa ambazo kwangu zilinipa wazo ila Mimi sio mjuzi na Sina mda wa kujifunza au kufanya shughuli ya namna ile. Niliamua kwa Nini nisiwape vijana wa...www.jamiiforums.com
shukurani mkuu kumbe alishatoka na tangazo kabisa sijui nili fail wapi mimi ngoja ni mchekiPitia uzi wake huu, ( Ugumu wangu )and then mtafute PM.
Kula jambo lina wakati wake. Nafasi bado iko wazi na ndo maana amekutafuta.shukurani mkuu kumbe alishatoka na tangazo kabisa sijui nili fail wapi mimi ngoja ni mcheki
Huyu jamaa alikuja na uzi, amekoswakoswa kutapeliwa.Kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira
Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuzamia moja kwa moja kwenye mada, Katika kuwaza kwangu na Jana kupita maeneo mengi mahali nilipo na kuona bidhaa ambazo kwangu zilinipa wazo ila Mimi sio mjuzi na Sina mda wa kujifunza au kufanya shughuli ya namna ile. Niliamua kwa Nini nisiwape vijana wa...www.jamiiforums.com
Aisee. Vijana walitaka kumuingiza mjini. Me huwa nasema akili ambazo watu wanatumia kutaka kuwaibia ama kutapeli wengine wakizitumia kwenye maeneo halali wanaweza kufanikiwa sana.Huyu jamaa alikuja na uzi, amekoswakoswa kutapeliwa.
much respect mkuuKula jambo lina wakati wake. Nafasi bado iko wazi na ndo maana amekutafuta.
Ukikwama mahali hasa kwenye eneo la kuandaa mpango kazi, chat me up, I will be there to help.
All the best.
watu wengine wanafanya watu kushindwa kutuamini tuliona na nia ya kweli maana kwa ujinga kama uo wa watu wengine anatuharibia wote tunaonekana ni wale waleHuyu jamaa alikuja na uzi, amekoswakoswa kutapeliwa.
natamani nipate mtu mmoja atakae niamini ili niwe mfano kwa wengine kwamba watu tunaona hitaji fursa na niwaaminifu na wenye chachu ya mafanikio na wenye maono ya kuwasidia vijana wengine bado tupo HAPATIKANE MMOJA TU ANIAMINIUaminifu ni bidhaa adimu sana zama hizi, watu wamekua sifa nyingi kemukemu ila uaminifu wamekosa.
Waaminifu wapo ila ni kazi sana kuwapata na kuwajua, tuendelee kupambana.
Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).
Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi
1.Video Light kit
2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D
3.Boya mic
4.Speed light
5.Strobe
6.Background
7.lens
8.memorycard
9.Stand
10.Compute
11.Reflactor
12.Printer
KUHUSU MIMI
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa
UZOEFU WA KAZI
Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao
MAWASILIANO YANGU
0743150860 Voda 0688176045 Airtel
Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu
sawa mkuuThis is my biggest interest. Nitafute
Mimi sitaki uniamini kabisa ila nakukaribisha kwa mazungumzo binafsi ukiona yafaa,nikushauri kitunatamani nipate mtu mmoja atakae niamini ili niwe mfano kwa wengine kwamba watu tunaona hitaji fursa na niwaaminifu na wenye chachu ya mafanikio na wenye maono ya kuwasidia vijana wengine bado tupo HAPATIKANE MMOJA TU ANIAMINI
natanguliza shukurani zanguMimi sitaki uniamini kabisa ila nakukaribisha kwa mazungumzo binafsi ukiona yafaa,nikushauri kitu
Asantenatanguliza shukurani zangu
Umefanikiwa.? Mm pia nafanya kazi hizo, naomba connection kama umefanikiwa ili tufanye kazi pamoja.Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).
Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi
1.Video Light kit
2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D
3.Boya mic
4.Speed light
5.Strobe
6.Background
7.lens
8.memorycard
9.Stand
10.Compute
11.Reflactor
12.Printer
KUHUSU MIMI
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa
UZOEFU WA KAZI
Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao
MAWASILIANO YANGU
0743150860 Voda 0688176045 Airtel
Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu